HARVEST POINT

Harvest Point Limited ni kampuni iliyosajiliwa na BRELA kwa namba 140-420-751 inayopatikana salasala Dar Es Salaam, Shughuli kuu za kampuni ni kutengeneza chakula cha kuku wa mayai kuanzia chakula cha vifaranga mpaka chakula cha kuku wakubwa, kutoa huduma za madakatari bure na kuwasaidia masoko ya mayai wafugaji wanaotumia chakula chetu.