MASOKO KWA WAFUGAJI

MASOKO KWA WAFUGAJI

Chakula Cha Kuku wa Mayai

Chakula Cha Kuku wa Mayai

.

USIMAMIZI

Usimamizi wa kidaktari kwa wafugaji

Jua zaidi Kuhusu Harvest Point Ltd

Kuhusu sisi

Harvest Point Limited ni kampuni iliyosajiliwa na BRELA kwa namba 140-420-751 inayopatikana salasala Dar Es Salaam, Shughuli kuu za kampuni ni kutengeneza chakula cha kuku wa mayai kuanzia chakula cha vifaranga mpaka chakula cha kuku wakubwa, kutoa huduma za madakatari bure na kuwasaidia masoko ya mayai wafugaji wanaotumia chakula chetu.

Kwa muda sasa

Tupo pamoja na wewe katika kukupa huduma bora katika ufugaji wako.

Tumekuwa wadau wakubwa katika kuhakikisha wafugaji wanapata mafanikio bora katika ufugaji kwa kutoa huduma na elimu yakutosha katika shighuli zao za ufugaji

Get a quote

10 Winning Awards

1230 Satisfied Clients

360 Best Projects

15+Years Served

JUA CHAKULA BORA

Tuna tengeneza chakula bora

Ni muhimu kuzingatia ubora wa chakula cha kuku kabla ya kununua na kulisha. Tupo kwajili ya kukuhudumia.

Vyakula vya kutia nguvu

 pumba za mahindi, pumba laini za mpunga, pumba laini za ngano, mtama, chenga za mahindi, chenga za mchele, uwele, ulezi, muhogo, viazi vitamu na magimbi.

Vyakula vya kujenga mwili

Mashudu ya alizeti, mawese, karanga, soya, korosho, ufuta, Damu ya wanyama iliyokaushwa, Mabaki ya samaki, dagaa au nyama.

Vyakula vya kuimarisha mifupa

 madini ya chokaa (kalsiamu) na fosiforasi




Wasiliana nasi