Harvest
point limited inayo masoko ya kuuza mayai yote ya wafugaji, inavyo vituo vya
usambazaji (distribution centre) kwa Dar Es Salaam na mikataba kadhaa na
mahoteli kwa ajili ya kuwauzia mayai. Wafugaji hulipwa pesa za mayai kabla
mzigo haujachukuliwa. Huduma hii inatolewa kwa wafugaji wanaotumia vyakula vya Harvest Point ltd